Quiz Week 71 - Twaalibaatul Ilmu

{"name":"Quiz Week 71 - Twaalibaatul Ilmu", "url":"https://www.quiz-maker.com/QPREVIEW","txt":"Ni bishara gani alopewa Sayyidna Suraqa ibn Malik na Mtume (swalallahu alaihi wasallam)?, Hii ni aya ya ngapi katika Surat Al Ahzab: Wanafikiri yale makundi ya maadui hayajaondoka. Na yakija hayo makundi watatamani laiti wao wako majangwani pamoja na mabedui, wakiuliza khabari zenu. Na lau wakiwa pamoja nanyi hawapigani ila kidogo tu., Ni sifa gani Allah (Subhana wataala) alimsifu Mtume (Swalallahu alayhi wasallam) katika aya ya 22 ya Surat Ahzab?","img":"https://www.quiz-maker.com/3012/images/ogquiz.png"}